Sunday, January 6, 2013

imagine kila mkenya angetumia internet kutangaza amani INGEKUAJE?

KILA MTU ANATAKA AMANI LAKINI TUTAIPATAJE KAMA HATUTAITANGAZA?MIMI NAKUITAJI TUSAIDIANE KUTANGAZA AMANI KENYA HII.TUNAJUA WATU NIWAOGA NA HAWAJUI ITAKUAJE WAKATI WA UCHAGUZI LAKINI NAAMNI KILA KITU KITAKUA SAWA ILIWA TUTASHIRIKIANA  KUENEZA AMANI POPOTE ULIPO NA SIO KWA MTANDAO TU ILA POPOTE ULIPO.nyimbo yangu ipo tayari na video pia ipo tayari nachoitaji ni ushirikiano wa ujumbe kufika kila sehemu

No comments:

Post a Comment