Saturday, December 29, 2012

hasidi fungua shule sabasi akasome

waswahili wana maneno mazito sana.nimelisoma hili neno sehemu nikasema kunawatu wanajua kuunganisha maneno kwakweli.haya wewe ongezea yako jimpya.

THE MAKING OF THE VIDEO TUNATAKA AMANI









barka abdallah turning 2years.shes my dota







ilikua siku yakuzaliwa ya barka 24th of dcmber

shes my dota.barka abdallah.

MWAKA MPYA MAMBO MAPYA KWA UWEZO WAKE MUNGU TUTAFANIKISHA.

kila mtu anataka amani hakuna naetaka kue na machafuko ya kivita kama mwaka wa elfu mbili na saba elfu mbili na nane.hii imepelekea mimi kama msanii kujitolea kufanya nyimbo ya amani na sio nyimbo tu bali pia kufunza watu jinsi ya kuishi na amani.maana hata mukipigana nyie ndio mutaumia na walio wafanya nyie kupigana watakua mbali na nyinyi wakati wa shida.aangaliaI.D.P mpaka leo wapo palepale kwanini?hii nikwasababu ya fujo leo waliokua matajiri na wapangaji wao wanaishi kwa hali moja kwaajili ya vita.nyimbo hii inaitaa tunataka AMANInyimbo imeisha video pia imeisha tunasubiri kuitoa mwaka ujao yani januari.naitaji sana sapoti ili tueneze amani.kila mtu kupata ujumbe uwezi kujua inaweza badilisha mambo yakawa tafauti na nyuma

Thursday, October 4, 2012






yes ilikua show ya godown nairobi ambayo ilikua na watu wengi ajabu








just kupozi tu na beste hapa na pale.pia kujitaarisha kwenye show

Friday, July 27, 2012

HII KENYA TUNA SEREKALI?

kenya imekua kama nchi isiokua na serekali ama kiongozi.maskini anazidi kua maskini na tajiri anazidi kua tajiri.lakini jiulize kwanini nasema hivi?jikiwa waziri mtu mzima anaweza kuongea hadharani kuhusu sketi za shule na kusema kwamba ni haki ya watoto hao kuvaa sketi hizo maana mungu amewatengeneza kwaivyo wawacheni waonyeshe walichopewa na mungu.hii inampa sura gani waziri huyu wakati tunajua kuna watu wanawanyapia watoto wa shule na pia wengine kurepiwa kwaajili ya nguo wanazo vaa.alafu maadae anakataa kua hakuongea hivyo.swali ni UWA WANAONGEA BILA KUFIKIRIA WANANCHI WATAFIKIRIAJE?AMA UWA NIKUTOJALI HATA WAZAZI WA WATOTO HAWA?MAANA MZAZI ANAFUNZA MTOT HIVI WEWE UNASEMA VILE.WEWE KAMA MKENYA HII NCHI TUNATAWALIWA NA KINA NANI?BURE KABISA................kitu chengine ni.wakati watu wanaji nunulia manyumba makubwa makubwa kwenye serekali je wanawakumbuka watu waliowapigia kura na bado wapo sehemu yanii IDP wakimbizi kwao nyumbani.uchaguzi unakaribia maskini ya mungu jee yakitokea yaliotokea mwaka ule yani kukizuka vita wale watu watakuaje?tunaishi kama hatuna serekali.waliwadanganya watu wa kibera kua wanawajengea nyumba ili waondoke kwenye mabanda nyumbazilipojengwa chakushangaza ni bado wapo mabandani na zile nyumba wamepangishiwa watu matajiri jee KENYA KUNA SEREKALI?walionunua plot na kujenga nyumba zao wamechukua loan benki gafla wanabomolewa nyumba zao wakiambiwa kua hapo mahali sio kwao na wana kila kitu chakuonyesha kua wamenunua.hii inamaanisha nini?ufisadi upo kwenye kila ofisi maana umepitia njia zote za haki alafu baadae anakuja kukuambia kua sio yako nayeye ndie aliekutilia muhuri.alafu serekali haingili kabisaa?JE KENYA TUNASEREKALI?hadi leo serekali hawajatoa hatua itakayo chukuliwa kwa mtu anakae stakiwa kwa kunajisi mtu.hii swala wanalichukua kawaida yani kenya ni kawaida na ndio maana visa vyo rape vimezidi sana maana serekali haijali.leo wakitoa hukumu ya kua atakae shikwa na kesi ya kunajisi akatwe makende yake yote yataisha.lakini laa nikitu cha kawaida mpaka sasa hata wazazi wakiona watoto wao wanawanajisi kwaajili hakuna kesi.HII KENYA TUNA SEREKALI?

Monday, February 6, 2012

leo nisiku ya kuingia studio na produza RK sijawai kufanya kazi nae.lakini wacha tuone tutatoa nini

Saturday, February 4, 2012

najiita maskini jeuri maana kunyanyaswa sipendi

mara nyingi uwa najiita maskini jeuri.kwanini?kwakua uwa sipendi mtu kuni nyanyasa kunionyesha kwamba mimi nipo juu yako kwaivyo nisikize mimi.naamini nina msimamo wangu mimi kama nyota.na kama sina na uwezi kunipa basi siwezi kukupigia magoti unipe maana naichukua kama nitakua nimejishukisha adhii yangu. wewe wasemaje?wewe pia ni maskini jeuri kwa njia nzuri?

Friday, February 3, 2012



WAUME VISHINGO

inasemekana kwamaba wana wake wanajua mapenzi kuliko waume.wanasema kwamba waume mara nyingi uwa wanapenda mwanamke amabae anajua kuvaa na kujipaka make up na kunukia vizuri.hao ndio wanaume wanapenda.lakini ukishampata wewe mwenyewe unashindwa kumuangalia na harufu nzuri inapotea nguo nzuri hapati tena na make up hakuna tena.sasa utafata wangapi?mpe mkeo anavyo staili ili anukie na apendeze