Monday, March 15, 2010

duniani tuuliumbwa sawa.hakuna yule alieumbwa zaidi ya mwengine ama mwengine ni muimu kuliko mwengine bali sote ni sawa.kila mtu alipewa akili na akili inakwenda na vile unavyo itumia.ukiamua unataka kujirusha kwenye gorofa utajirusha maana utakua umeamua.katika maisha vilevile kuna watu husahau kama duniani tupo matembezini hivyo basi wakaishi kama hakuna kesho.kuna watu ujitenga na walio chini wakajiona wao wapo juu ya anga.maisha ni mzunguko leo mimi kesho wewe.nakuitaji leo nisaidie .kesho wewe nitakuitaji nitaomba unisaidie.kila siku kuna watu wanakufa na wengine wanazaliwa.unajua ulipotoka ukweli ni kwamba hatujui tunapo kwenda.usie wangu kwa kila atakae soma hii.tusaidiane wakati tungali hai usingoje nife ndio uanzee kunichangia pesa.kama ningali hai na naitaji hela kufanya kitu flani nipe kama unazo.

still at the big tree kama kawaida





the show @big tree jana





Wednesday, March 10, 2010

mashauri yawendee watu wazima wenye kuropokwa bila kufikiria.

tusiropokwe bila kufikiri.wakati tunapo oongea kuhusu mambo flani.kwamfano nimepita sehemu mwanamke ana mtukana mwenzake kwa kumwabia kwamba wewe umenenepa bure tu kwani wenye ukimwi ndio wanenepao sikuizi.hii inachangia watoto kutoelewa kwa nini mtu huyu anasema anavyo sema?inakua watoto wanawaogopa sana watu walio na mwili wakidhani wanaukimwi.so plz tusiwe tuna ropokwa tu jamani