Wednesday, July 29, 2009

darisalama



katika hali ya kusakata rumba na mafans nao wanaonyesha upendo mwingi sana

naongea na moyo jamani.moyo unaniambia.mpende akupendae akuchukiae mpende zaidi utamkomesha ubishi.

kuna vitu vingi sana ambavyo tunaweza kuviongelea.hebu tuongelee hela.kwanza tuongelee uzuri wake.kila mtu yupo duniani kutafuta maisha.nakupata maisha mazuri lazima uwe na hela.kuna vitu vingi binadamu anaweza kufanya kujiendekeza kimaisha bora uwe unaweza kufanya bila kupitia njia ya udanganyifu.muuza tomato akiendeleza biasha yake inaweza kumnunulia hata nyumba.langu ni sio lazima uwe unafanya kazi benki ndio ununue nyumba.kila mtu anashida zake kwaivyo badala ya kulalamika saa zote tumia akili.ama naongea vibaya?

Tuesday, July 28, 2009


tunaitwa sura mbaya jamana.kweli unaweza kuniweka kwenye watu wa sura mbaya?usijali.niviji mambo tu

sijui mtasemaje kuhusu picha hii.pia uwezi kuipa hiyo nguo mahali popote.niubunufu wangu mwenyewe

usishangae kuniona bila viatu.kwani wewe ujawai kutembea bila viatu?tuyaache hayo.bado nipo kwenye shuhuli ileile

yule mama alie kua akitaka kumuua mtoto wa mwenzake kwa bahati nzuri au mbaya akamuua mwanae mwenyewe.moto aliouasha umemchoma mwenyewe.

voi


nilikua nimekasirika sana juu watu wa video walikua wamechelewa kuja na mimi nilikua niko tayari.yani yani yani.waaaaaaaaaaaaacha tu

voi


usongo. lakini sitishi

Kinyango Cha Mama wa Kambo!


Kinyago hiki kilitumika kwa video ya mama wa kambo.yani niliiweka kama kusema mtu mwenye roho mbaya nikama mchawi.unawezaje kutaka kumuua mtoto wa mwenzako ambae alisikia uchungu wakati aki mzaa mwanae kama wewe ulivyo mzaa mwanao? tuwapende watoto wa wenzetu maana ujui nani atakae kufaa kesho.
..................................................................................................
This African Artifact was used during the video shooting of my song" Mama wa Kambo" (Step-Mother)...I used it to symbolise an evil heart is like a witchcraft. How is it possible to kill a child of someone else who also experienced pain while giving birth as you. Lets love the children of others coz you never know who will be a stepping stone to your destiny!!!....Love is the Greatest gift!!!!

mji wa mombasa


huu ni mji wa mombasa wala tusiende mbali tuka sema tupo egypt.mombasa ni mji wa raha sana.mombasa inapendeza sana jamani.mombasa ya papasa.

siku ya video


yule asie mjua mwana dada huyu ni nani?

Siku ya Video!


Nyota na Zawadi.Alikua mcheza show wangu sasa ni muimbaji kama mimi.Tumpe sapoti ya nguvu jamani nae atoke.Siku ya video.
...........................................................................................
Nyota and Zawadi!!!....Zawadi used to be one of my Best dancers but now she is a singer/musician just like me!!!...Lets all join our efforts and support her.....Indeed she will excel....The seed of Greatest NEVER dies. In this photo....it was during the shooting of my video.

voi


katika harakati ya kufanya video ya mama wa kambo.

sarakasi


aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kunani?naimba kwa furaha

show ya sarakasi mombasa


tukiwa tunaimba tunamshukuru mungu wetu ata kwenye stage.ahsante mungu wangu kwa yote ulonitendea.maana si madogo


hivi ndio mimiuka bila make up,ataivyo nikitambo hapo.huyo hapo nimsanii mwenzangu tume poz tu.

nyota akiwa na mika kumi na nane jamani.ndio yunaanza mziki hapo mdogomdogo.

mafans kwa wingi.

lazima tukumbuke jamani.turudi nyuma kidogo. huyu jamaa ni nani?alikua mfanyakazi mwenzangu nikiwa mfanfanya kazi wa nyumbani yeye alikua dereva wa mdosi.tusiogope kusema tulipotoka.ama vipi?

hyden herbalist mwenyewe tukiwa ndani ya tz.kama amumfahamu huyu bwana ndie produser wa nyimbo yangu mende.ndie pia alie shirikiana na madebe kwa kibao nibebe.

love kwa wote jamani.show ilikua poa sana.nilifika kwa stage nikasika nakanyaga maji nikashindwa vipi mbona mna maji?kumbe kulingana na wengi wa watu mpaka walikua wanatoa jasho

babangu mzazi akiwa wakati huo ndani ya sabasaba mombasani akilisakata gita lake.ongera mzee abdallah kwa kutupa moyo wa kufanya mziki na na sisi. ahsante sana baba na mungu akupe maisha marefu ili uone mafanikio yetu.love u

Mombasa Jamboree


Ndani ya Jamboree nikiwa na mafans wangu jamani.
..........................................................................
At Jamboree with my fans!!!

Kakangu Mpendwa


Munamjua huyu kijana mdogo? Huyu ni Juma Tutu wakati na hu alikua yupo shuleni na ana ndoto za kua mwanamziki. Kweli hakuna mtu mwembamba duniani.Juma Tutu ni mkubwa wangu, yani ndugu yangu toka ni toke. Wakati huu alikua shindano sasa ukimuona amekua zinganga la mwana baba.Nakupenda kama Sukari.
..........................................................................................................
Do we all remember this young man?..He is Juma Tutu. At this time he was still in school but still having the DREAM of being a musician...Indeed there is nothing like being " petite" in this world. Juma Tutu is my elder brother...but should you see him now....he has taken advantage of the mening of being "BIG"..or should i say healthy big bro!!!....Mwaaaaah!!!!...I love you like sugar!!!

ndani ya ukunda


Hapo chacha.katika club tanduri ukunda nikifanya mamboz.
........................................................................................................
There you go!!!!... @"ClubTanduri" in Ukunda- Mombasa....doing my thing!!!!

makumbusho jamani


Siku nyingi joooooo.kwa mara ya kwanza nyota ndogo kukaribishwa Zanzibar mwaka wa elfu mbili.Hawa unaowaona hapo ni kikundi cha Njenje mwenyewe..."Kinyaunyau"!!!!
....................................................................................
Many days o!!!!...For the first time, I was invited to Zanzibar on Year 2000....This is the group of the real "Njenje" Musicians:......"Kinyaunyau"!!!!

Tumetoka Mbali...We`ve come from far!!!!


jamani wangapi wanamjua huyu mrembo?huyu anaitwa mwanaisha abdallah mohamed.wakati huu alikua mfanya kazi wa nyumbani.sasa ndie nyota ndogo.nimeiweka makusudi hili watu wajue tumetoka mbali.wengi uona kua wanadanganywa wakiambiwa nilikua house gal!
............................................................................................................
Honestly speaking!!....How many of you recognize this beautiful lady in a Hijab...He name is Mwanaisha Abdallah Mohammed. At this time i was a house girl but for now my name has changed to "Nyota Ndogo". I have uploaded this picture purposely so that you areaware that people come from far!!!...So for those who think its a lie....there you have it!!!...am seated outside the corridor of my boss` house...!!!!...Its called LIFE!!

Monday, July 27, 2009

East Africa TV Interview.....


Katika hali ya kujieleza mazuri yanayo kuja....hapa niko katika East Afrika TV nikihojiwa kuhusu nyimbo yangu mpya " Hao"....naatumai mshaiona na kuisikia......

Siku ya kupanda miti!!!!


Nani alisema hatuwezi kupanda miti!hah!...mwafikiri hatuwezi kushika matope....hebu tupande miti kwa wingi tuweze kupata mvua......kazi kwako!!!...

Black is beautiful!!!!!


hebu tumwagalie mwanamke wa kiafrika an anavyopendeza na kikoi chake..sio twende tukajibleach tukaaribu uzuri wa mwenyezi Mungu!!!!...
There She goes!!!!!....An black African Woman whose beauty surpasses all....how outstanding in her Kikoi covering....i wonder why we go to an extent of bleaching ourselves and destroy Gods ordained beauty!!!!!!....I wonder why?? @@##$$%^&&

Me!


Sema nami!!!!....

My New Album!!


haya mambo ipo huku.naona kama vazi la kiafrika limavutia sana.yaani najitamani mwenyewe.wawawawa