Thursday, August 25, 2016

HIO NDOA WACHA IKAE

Mara nyingi utapata ndoa nyingi uwa zinashindwa kuendelea na mpaka maafa yanatokea pale wanandoa wameshindwa kukaa pamoja lakini unaona nikama wanalazimishwa kuishi ili kuziba aibu eti mwanangu ukirudi nyumbani watu watatucheka sisi wazazi wako.ukiweza kuskiza story za wanandoa na yale waschana wanayopitiwa kwenye ndoa zao uwezi kuamini kabisa.kuna mrembo moja ameniambia anapigwa sana na mume wake yani mume wake akija nyumbani jioni anaona kama ni jambazi na kumuambia rudi kwenu mie sikutaki.akirudi kwao ndugu zake wanamwambia rudi huko huko.sasa nauliza hadi mtakapo rudishiwa maiti nyumbani ndio mutajua kua alikua anapigwa.tumeona watu wakikatana sehemu za siri na mikono yani unarudi kwenu sehemu za mwili wako hamna je ni sawa kusubiria mpaka zifike hapo

Tuesday, August 9, 2016




rotary club malindi






yalikua  makaribisho mazuri sana apo safari ilikua ndefu sana ila nashukuru nilifika nikawafuraisha na vile vile nikarudi home salama.holla ndio kunaitwa club jina karumaindo show ilikua tarehe 5 mwezi huu 2016

Thursday, February 11, 2016

Music is what i live for and to give people what they desire, is always a pleasure for me, come sing and dance me dance with me, at Bob Marley 71th Birthday Celebration , Friday 12th February 2016, Copenhagen, Denmark. The backing band - Hafizi Crew - you will love it, they just the fantastic.




Friday, March 6, 2015

WASANI WENGINE WAJEURI SANA WANAJISAHAU KUA MASHABIKI NDIO MATARIJI WETU

kwanza kabisa mimi Naweza kusema kua hakuna kitu kizuri kama kua wewe.tuje kwa wasanii wenzangu.juzi jirani yangu aliniambia kua kuna msanii moja alikua anampenda sana nakila akitoa nyimbo lazima akaitafute.yani anasema kua akiskiza nyimbo zake uskia moyo weke umetulia sana.msanii huyu alikuja Mombasa na huyu mama alichukua watoto wake wawili matatu mpaka momabasa kwaajili ya huyu msanii.watu walijaa sana na kila mtu alitaka kumshika mkono huyu msani.huyu mama alisubri mahali alipokua ameketi msanii .alimfata na kutaka kumsalimia msanii alikua amefurisha mdomo mithili ya habri linalotaka kupasuka na kumuambia huyu mama saizi sina tima na kuwaambia mabodigedi wake kua kwanini wanawacha watu kumsongelea.yani kweli wasanii wengine munaharibu jina  la usanii.jee unajua kua huyu mama amemchukia huyu msanii mpaka kuchoma cd zake zote.MASHABIKI WAKIKUKATAA WEWE KWISHA.NDIO MATAJIRI WETU.WASIPOKUJA KWENYE SHOW HAUNA HELA..

Thursday, March 5, 2015

WANAWAKE WENGINE WANAPENDA WANAUME WENYE PESA NA MAGARI LAKINI WOTE WAMEOA

wanawake wengine uwa wanapenda sana wanaume wenye hela na  magari makubwa bila kujali mtu huyu amevipata vipi.wanaume wenye hela zao munajua kama uwa hawapo single? uwa wemeoa.uwa wameoa wanawake ambao wamekua nao toka wakati wapo chíni kimaisha yani wamesota pamoja toka hawana mpaka sasa mume yupo Sawa wapo pamoja.wewe unataka uvikute uvile bila yakuvitolea jasho.wanawake amkeni bwana acheni uvivu.SIO WANAWAKE WOTE WANATABIA HII.BAHADHI YETU